sw_tn/gen/24/33.md

407 B

Wakaandaa

Hapa neno "wakaandaa" lina maana ya watu wa familia ya Labani au watumishi wa nyumbani.

chakula mbele yake

"kumpatia mtumishi chakula"

niseme kile ninacho paswa kusema

"kuzungumza maneno yangu" au "nimekuambia kwa nini nipo hapa"

amekuwa mtu mkuu

Hapa neno "amekuwa" lina maana ya Abrahamu.

amekuwa mkuu

"amekuwa tajiri sana"

Amempatia

Neno "amempatia" lina maana ya Yahwe.