forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
407 B
Markdown
24 lines
407 B
Markdown
|
# Wakaandaa
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "wakaandaa" lina maana ya watu wa familia ya Labani au watumishi wa nyumbani.
|
||
|
|
||
|
# chakula mbele yake
|
||
|
|
||
|
"kumpatia mtumishi chakula"
|
||
|
|
||
|
# niseme kile ninacho paswa kusema
|
||
|
|
||
|
"kuzungumza maneno yangu" au "nimekuambia kwa nini nipo hapa"
|
||
|
|
||
|
# amekuwa mtu mkuu
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "amekuwa" lina maana ya Abrahamu.
|
||
|
|
||
|
# amekuwa mkuu
|
||
|
|
||
|
"amekuwa tajiri sana"
|
||
|
|
||
|
# Amempatia
|
||
|
|
||
|
Neno "amempatia" lina maana ya Yahwe.
|