forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
757 B
Markdown
28 lines
757 B
Markdown
# na akaondoka. Akachukua pia
|
|
|
|
Sentensi inayoanza na "Akachukua pia" inatupa taarifa ya nyongeza kuhusu nini mtumishi alichukua katika safari. Alivikusanya kabla ya kuondoka.
|
|
|
|
# Akachukua pia aina zote za zawadi kutoka kwa bwana wake
|
|
|
|
Hii ina maana alichukua pia vitu vingi ambavyo bwana wake alitaka akawapatie familia ya mwanamke.
|
|
|
|
# Akaondoka na kwenda
|
|
|
|
"akajiandaa na kuondoka" au "aliondoka na kwenda"
|
|
|
|
# mji wa Nahori
|
|
|
|
Maana zaweza kuwa 1) "mji ambapo Nahori aliishi" au 2) "mji ulioitwa Nahori".
|
|
|
|
# Akawapigisha magoti ngamia
|
|
|
|
Ngamia ni wanyama warefu wenye miguu mirefu. Aliwafanya wainamishe miguu yao na kushusha miili yao ardhini. "Aliwafanya ngamia kulala chini"
|
|
|
|
# kisima cha maji
|
|
|
|
"kisima cha maji" au "kisima"
|
|
|
|
# kuchota maji
|
|
|
|
"kufuata maji"
|