sw_tn/gen/23/07.md

1.2 KiB

kusujudu

Hii ina maana ya kuinama au kupiga goti chini kabisa kwa kuonyesha unyenyekevu wa heshima na taadhima kwa mtu.

kwa watu wa nchi ile, kwa wana wa Hethi

"kwa wana wa Hethi waliokuwa wakiishi katika eneo lile"

wana wa Hethi

Hapa "wana" ina maana ya wale amabo wametoka kwa Hethi. "uzao wa Hethi"

wafu wangu

Kivumishi kidogo "wafu" kinaweza kuelezwa kama kivumishi au kitenzi. "mke wangu aliyekufa" au "mke wangu ambaye amekufa"

Efroni .... Sohari

Haya ni majina ya wanamume.

pango la Makpela, ambalo analimiliki, ambalo liko mwishoni mwa shamba lake

"pango lake ambalo lipo mwishoni mwa shamba lililoko Makpela"

pango la Makpela

"pango lililoko Makpela". Makpela ilikuwa jina ya eneo au sehemu. Efroni alimiliki shamba katika Makpela na pango ambalo lilikuwa katika shamba.

ambalo analimiliki

Hii inatueleza jambo kuhusu pango lile. Efroni alimiliki pango lile.

ambalo liko mwishoni mwa shamba lake

Hii pia inatumabia jambo kuhusu pango lile. Pango lilikuwa mwishoni mwa shamba la Efroni.

aniuzie waziwazi

"niuzie mbele yenu wote" au "niuzie mbele ya uwepo wenu"

kama miliki

"kama kipande cha nchi ambacho nitamiliki na kutumia"