sw_tn/gen/23/01.md

332 B

Sara akaishi mika mia moja na ishirini na saba

miaka saba - 'Sara aliishi miaka 127"

Hii ndiyo ilikuwa ni miaka ya maisha ya Sara

Baadhi ya watafsiri hawajumlishi sentensi hii.

Kiriathi Arba

Hili ni jina la mji.

Abraham akaomboleza na kumlilia Sara

"Abrahamu alikuwa na huzuni sana na akalia kwa sababu Sara alikufa"