forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
643 B
Markdown
24 lines
643 B
Markdown
# Ikawa kwamba baada ya mambo haya
|
|
|
|
"Baada ya matukio haya". Msemo "mambo haya" una maana ya matukio ya Mwanzo 22:1-19
|
|
|
|
# Abraham aliambiwa
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "mtu alimwambia Abrahamu"
|
|
|
|
# Milka amemzalia pia watoto
|
|
|
|
"Milka pia alizaa watoto"
|
|
|
|
# Milka
|
|
|
|
Hili ni jina la mwanamke
|
|
|
|
# walikuwa ni Usi mzaliwa wa kwanza, Busi ndugu yake
|
|
|
|
"Jina la mwanawe wa kwanza lilikuwa Usi, na majina ya watoto waliosalia walikuwa Busi ndugu yake"
|
|
|
|
# Usi ... Busi ... Kemueli ... Aramu ...Kesedi, Hazo, Pildasi, Yildashi, na bethueli
|
|
|
|
Haya yote ni majina ya wanamume. Hawa wote kasoro Aramu walikuwa watoto watoto wa nahori na Milka.
|