sw_tn/gen/22/20.md

643 B

Ikawa kwamba baada ya mambo haya

"Baada ya matukio haya". Msemo "mambo haya" una maana ya matukio ya Mwanzo 22:1-19

Abraham aliambiwa

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "mtu alimwambia Abrahamu"

Milka amemzalia pia watoto

"Milka pia alizaa watoto"

Milka

Hili ni jina la mwanamke

walikuwa ni Usi mzaliwa wa kwanza, Busi ndugu yake

"Jina la mwanawe wa kwanza lilikuwa Usi, na majina ya watoto waliosalia walikuwa Busi ndugu yake"

Usi ... Busi ... Kemueli ... Aramu ...Kesedi, Hazo, Pildasi, Yildashi, na bethueli

Haya yote ni majina ya wanamume. Hawa wote kasoro Aramu walikuwa watoto watoto wa nahori na Milka.