sw_tn/gen/21/28.md

560 B

Abraham akatenga wanakondoo wa kike saba peke yao

"Abrahamu aligawanya kondoo saba wa kike kutoka kundini"

saba

"7"

Nini maana ya hawa wanakondoo wa kike saba ambao umewatenga peke yao?

"Kwa nini umegawanya hawa kondoo saba kutoka kundini?"

utawapokea

"utachukua"

kutoka mkononi mwangu

Hapa "mkononi" una maana ya Abrahamu. "kutoka kwangu"

iwe ushahidi

Neno "iwe" ina maana ya zawadi ya kondoo saba.

ili kwamba iwe ushahidi kwangu

Kitenzi kinachojitegemea "shahidi" kinaweza kuelezwa kama "kuthibitisha". "Kuthibitisha kwa kila mtu"