forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
560 B
Markdown
28 lines
560 B
Markdown
|
# Abraham akatenga wanakondoo wa kike saba peke yao
|
||
|
|
||
|
"Abrahamu aligawanya kondoo saba wa kike kutoka kundini"
|
||
|
|
||
|
# saba
|
||
|
|
||
|
"7"
|
||
|
|
||
|
# Nini maana ya hawa wanakondoo wa kike saba ambao umewatenga peke yao?
|
||
|
|
||
|
"Kwa nini umegawanya hawa kondoo saba kutoka kundini?"
|
||
|
|
||
|
# utawapokea
|
||
|
|
||
|
"utachukua"
|
||
|
|
||
|
# kutoka mkononi mwangu
|
||
|
|
||
|
Hapa "mkononi" una maana ya Abrahamu. "kutoka kwangu"
|
||
|
|
||
|
# iwe ushahidi
|
||
|
|
||
|
Neno "iwe" ina maana ya zawadi ya kondoo saba.
|
||
|
|
||
|
# ili kwamba iwe ushahidi kwangu
|
||
|
|
||
|
Kitenzi kinachojitegemea "shahidi" kinaweza kuelezwa kama "kuthibitisha". "Kuthibitisha kwa kila mtu"
|