sw_tn/gen/21/25.md

626 B

Abraham pia akamlalamikia Abimeleki

Maana zaweza kuwa 1) Abrahamu alikuwa akilalamika kuhusu kile kilichotokea au 2) "Abrahamu pia alimkaripia Abimeleki"

kuhusu kisima cha maji ambacho watumishi wa Abimeleki wamekinyang'anya

"kwa sababu watumishi wa Abimeleki walichukua kisima kimoja cha visima vya Abrahamu"

wamekinyang'anya kwake

"kuchukua kutoka kwa Abrahamu" au "wamekitawala"

sijalisikia hadi leo hii

"Hii ni mara ya kwanza nimesikia kuhusu jambo hili"

Abrahamu akachukua kondoo na ng'ombe maksai akampatia Abimeleki

Hii ni ishara ya urafiki na ya kwamba Abrahamu amekubali kuweka agano na Abimeleki.