forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
626 B
Markdown
20 lines
626 B
Markdown
|
# Abraham pia akamlalamikia Abimeleki
|
||
|
|
||
|
Maana zaweza kuwa 1) Abrahamu alikuwa akilalamika kuhusu kile kilichotokea au 2) "Abrahamu pia alimkaripia Abimeleki"
|
||
|
|
||
|
# kuhusu kisima cha maji ambacho watumishi wa Abimeleki wamekinyang'anya
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu watumishi wa Abimeleki walichukua kisima kimoja cha visima vya Abrahamu"
|
||
|
|
||
|
# wamekinyang'anya kwake
|
||
|
|
||
|
"kuchukua kutoka kwa Abrahamu" au "wamekitawala"
|
||
|
|
||
|
# sijalisikia hadi leo hii
|
||
|
|
||
|
"Hii ni mara ya kwanza nimesikia kuhusu jambo hili"
|
||
|
|
||
|
# Abrahamu akachukua kondoo na ng'ombe maksai akampatia Abimeleki
|
||
|
|
||
|
Hii ni ishara ya urafiki na ya kwamba Abrahamu amekubali kuweka agano na Abimeleki.
|