sw_tn/gen/18/32.md

307 B

Huenda kumi wakaonekana kule

"Huenda utakuta watu kumi watakatifu pale"

kumi

"watu kumi watakatifu" au " watu kumi wazuri"

Kisha akasema

"Na Yahwe akajibu"

kwa ajili ya hao kumi

"ikiwa nikipata watu kumi watakatifu pale"

Yahwe akaendelea na njia yake

"Yahwe aliondoka" au "Yahwe alienda"