# Huenda kumi wakaonekana kule "Huenda utakuta watu kumi watakatifu pale" # kumi "watu kumi watakatifu" au " watu kumi wazuri" # Kisha akasema "Na Yahwe akajibu" # kwa ajili ya hao kumi "ikiwa nikipata watu kumi watakatifu pale" # Yahwe akaendelea na njia yake "Yahwe aliondoka" au "Yahwe alienda"