forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
632 B
Markdown
32 lines
632 B
Markdown
# Akaongea naye
|
|
|
|
"Abrahamu akazungumza na Yahwe"
|
|
|
|
# ikiwa arobaini watapatikana pale
|
|
|
|
Hii ina maana ya "ikiwa ukapata watu watakatifu arobaini Sodoma na Gomora"
|
|
|
|
# Akajibu
|
|
|
|
"Yahwe akajibu"
|
|
|
|
# Sitafanya kwa ajili ya hao arobaini
|
|
|
|
"Sitaangamiza miji iwapo nitakuta watu watakatifu arobaini pale"
|
|
|
|
# thelathini
|
|
|
|
"watu thelathini watakatifu" au "watu thelathini wazuri"
|
|
|
|
# Tazama
|
|
|
|
Msemo wa "tazama" hapa unavuta nadhari juu ya taarifa ya kushangaza inayofuata.
|
|
|
|
# Nimeshika kusema
|
|
|
|
"Niwie radhi kwa kuwa wazi na kuzungumza na wewe" au "Samahani kwa kudiriki kuzungumza"
|
|
|
|
# ishirini
|
|
|
|
"watu ishirini watakatifu" au "watu ishirini wazuri"
|