sw_tn/gen/18/29.md

632 B

Akaongea naye

"Abrahamu akazungumza na Yahwe"

ikiwa arobaini watapatikana pale

Hii ina maana ya "ikiwa ukapata watu watakatifu arobaini Sodoma na Gomora"

Akajibu

"Yahwe akajibu"

Sitafanya kwa ajili ya hao arobaini

"Sitaangamiza miji iwapo nitakuta watu watakatifu arobaini pale"

thelathini

"watu thelathini watakatifu" au "watu thelathini wazuri"

Tazama

Msemo wa "tazama" hapa unavuta nadhari juu ya taarifa ya kushangaza inayofuata.

Nimeshika kusema

"Niwie radhi kwa kuwa wazi na kuzungumza na wewe" au "Samahani kwa kudiriki kuzungumza"

ishirini

"watu ishirini watakatifu" au "watu ishirini wazuri"