sw_tn/gen/18/09.md

455 B

Wakamwambia

"Kisha wakamwambia Abrahamu"

akasema, "Hakika nitarejea kwako

Neno "akasema" lina maana ya mwanamume ambaye Abrahamu alimwita "Bwana" katika 18:3.

majira ya machipuko

"pale ambapo majira kama haya yatakapowadia mwaka kesho" au "muda kama huu mwaka kesho"

na tazama

Neno "tazama" hapa linatutahadharisha kuwa makini kwa taarifa ya kushangaza inayofuata.

mlangoni pa hema

"katika uwazi wa hema" au "katika kiingilio cha hema"