forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
455 B
Markdown
20 lines
455 B
Markdown
|
# Wakamwambia
|
||
|
|
||
|
"Kisha wakamwambia Abrahamu"
|
||
|
|
||
|
# akasema, "Hakika nitarejea kwako
|
||
|
|
||
|
Neno "akasema" lina maana ya mwanamume ambaye Abrahamu alimwita "Bwana" katika 18:3.
|
||
|
|
||
|
# majira ya machipuko
|
||
|
|
||
|
"pale ambapo majira kama haya yatakapowadia mwaka kesho" au "muda kama huu mwaka kesho"
|
||
|
|
||
|
# na tazama
|
||
|
|
||
|
Neno "tazama" hapa linatutahadharisha kuwa makini kwa taarifa ya kushangaza inayofuata.
|
||
|
|
||
|
# mlangoni pa hema
|
||
|
|
||
|
"katika uwazi wa hema" au "katika kiingilio cha hema"
|