sw_tn/gen/18/01.md

615 B

Mamre

Hili lilikuwa jina la mwanamume aliyemiliki mialoni.

mlangoni pa hema

"katika uwazi wa hema" au "katika kuingilia kwa hema"

joto la mchana

"wakati wa jua kali la mchana"

Akatazama juu na, tazama, akaona wanaume watatu wamesimama.

"Alitazama juu na kuona, tazama, wanamume watatu walikuwa wamesimama"

tazama

"ghafla". Neno "tazama" hapa linatuonyesha kitakachofuata ni cha kushangaza kwa Abrahamu.

mbele yake

"karibu" au "pale". Walikuwa karibu na yeye, lakini umbali wa kutosha kwa yeye kuwakimbilia.

kuinama

Hii ina maana kuinama chini na kuonyesha unyenyekevu na heshima kwa mtu.