sw_tn/gen/17/07.md

354 B

Taarifa ya Jumla:

Mungu anaendelea kuzungumza na Abrahamu.

katika vizazi vyao

"katika kila kizazi"

kwa agano la milele

"kama agano ambalo litadumu milele"

Mungu kwako na kwa wazao wako baada yako

"kuwa Mungu wako na vizazi vyako" au "agano"

Kanaani, kuwa miliki ya milele

"Kanaani, kama miliki ya milele" au"Kanaani, kuimiliki milele"