sw_tn/gen/16/15.md

546 B

Hajiri akamzalia

Ujio wa Hajiri kwa Sarai na Abramu unajitokeza wazi. Unaweza kufanya hivi kuwa wazi. "Kwa hiyo Hajiri alirudi na kuzaa"

akamwita mwanawe, ambaye Hajiri amemzaa

"alimwita mtoto wake kwa Hajiri" au "alimuita wake na mtoto wa Hajiri"

Abram alikuwa

Hii inatambulisha taarifa ya nyuma kuhusu umri wa Abramu ambapo vitu hivi vilipotokea. Lugha inaweza kuwa na namna maalumu ya kutaja taarifa ya nyuma.

alipomzaa Ishmaeli kwa Abram

Hii inamaanisha "alimzaa mtoto wa Abramu, Ishmaeli." Lengo lipo kwa Abramu kupata mtoto.