sw_tn/gen/15/14.md

955 B

Taarifa ya Jumla:

Yahwe aliendelea kuzungumza na Abramu wakati Abramu alipokuwa akiota.

Nitahukumu

Hapa "hukumu" ni lugha nyingine kwa kile kitakachotokea baada ya Mungu kutoa hukumu. "Nitaadhibu"

wataowatumikia

Maana kamili ya kauli hii inawezwa kufanywa wazi. "ambao vizazi vyako watawatumikia"

mali nyingi

Hii ni lahaja. "mali nyingi" au "utajiri mkubwa"

utakwenda kwa baba zako

Hii ni njia ya upole ya kusema "utakufa"

baba

Neno "baba" lina maana sawa na mababu. "mababu"

utazikwa katika uzee mwema

"utakuwa mzee sana utakapokufa na familia yako itazika mwili wako"

Katika kizazi cha nne

Hapa kizazi kimoja kina maana ya urefu wa miaka 100. "Baada ya miaka mia nne"

watakuja tena hapa

"vizazi vyako watakuja hapa tena". Vizazi vya Abrahamu vitakuja katika nchi ampabo Abramu alikuwa akiishi, nchi ambayo Yahwe aliahidi kumpatia.

haujafikia mwisho wake

"haijakamilika" au "itakuwa mbaya zaidi kabla sijawaadhibu"