forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
955 B
Markdown
40 lines
955 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe aliendelea kuzungumza na Abramu wakati Abramu alipokuwa akiota.
|
||
|
|
||
|
# Nitahukumu
|
||
|
|
||
|
Hapa "hukumu" ni lugha nyingine kwa kile kitakachotokea baada ya Mungu kutoa hukumu. "Nitaadhibu"
|
||
|
|
||
|
# wataowatumikia
|
||
|
|
||
|
Maana kamili ya kauli hii inawezwa kufanywa wazi. "ambao vizazi vyako watawatumikia"
|
||
|
|
||
|
# mali nyingi
|
||
|
|
||
|
Hii ni lahaja. "mali nyingi" au "utajiri mkubwa"
|
||
|
|
||
|
# utakwenda kwa baba zako
|
||
|
|
||
|
Hii ni njia ya upole ya kusema "utakufa"
|
||
|
|
||
|
# baba
|
||
|
|
||
|
Neno "baba" lina maana sawa na mababu. "mababu"
|
||
|
|
||
|
# utazikwa katika uzee mwema
|
||
|
|
||
|
"utakuwa mzee sana utakapokufa na familia yako itazika mwili wako"
|
||
|
|
||
|
# Katika kizazi cha nne
|
||
|
|
||
|
Hapa kizazi kimoja kina maana ya urefu wa miaka 100. "Baada ya miaka mia nne"
|
||
|
|
||
|
# watakuja tena hapa
|
||
|
|
||
|
"vizazi vyako watakuja hapa tena". Vizazi vya Abrahamu vitakuja katika nchi ampabo Abramu alikuwa akiishi, nchi ambayo Yahwe aliahidi kumpatia.
|
||
|
|
||
|
# haujafikia mwisho wake
|
||
|
|
||
|
"haijakamilika" au "itakuwa mbaya zaidi kabla sijawaadhibu"
|