sw_tn/gen/15/01.md

793 B

Baada ya mambo haya

"Mambo haya" ina maana ya pale ambapo wafalme walipigana na Abramu akamuokoa Lutu.

neno la Yahwe likamjia

Lahaja hii ina maana ya Yahwe akazungumza. "Yahwe alizunguza ujumbe wake"

neno la Yahwe

Hapa "neno" inawakilisha ujumbe wa Yahwe. "ujumbe wa Yahwe"

ngao ... thawabu

Mungu alitumia sitiari hizi mbili kumwambia Abramu juu ya tabia yake na uhusiano wake na Abramu.

mimi ni ngao yako

Wanajeshi hutumia ngao kujilinda kwa maadui zao. "Nitakulinda kama ngao" au "Mimi ni ngao yako kukulinda"

thawabu

"malipo". Hii ina maana ya malipo yanayostahili kwa mtu. Maana mbili zaweza kuwa 1) "Mimi ni yote unayohitaji" au 2) "Nitakupa yote unayohitaji".

Abram akasema, "Kwakuwa hujanipatia

"Abramu aliendelea kuzungumza na kusema, "Kwa kuwa umenipatia"