forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
793 B
Markdown
28 lines
793 B
Markdown
|
# Baada ya mambo haya
|
||
|
|
||
|
"Mambo haya" ina maana ya pale ambapo wafalme walipigana na Abramu akamuokoa Lutu.
|
||
|
|
||
|
# neno la Yahwe likamjia
|
||
|
|
||
|
Lahaja hii ina maana ya Yahwe akazungumza. "Yahwe alizunguza ujumbe wake"
|
||
|
|
||
|
# neno la Yahwe
|
||
|
|
||
|
Hapa "neno" inawakilisha ujumbe wa Yahwe. "ujumbe wa Yahwe"
|
||
|
|
||
|
# ngao ... thawabu
|
||
|
|
||
|
Mungu alitumia sitiari hizi mbili kumwambia Abramu juu ya tabia yake na uhusiano wake na Abramu.
|
||
|
|
||
|
# mimi ni ngao yako
|
||
|
|
||
|
Wanajeshi hutumia ngao kujilinda kwa maadui zao. "Nitakulinda kama ngao" au "Mimi ni ngao yako kukulinda"
|
||
|
|
||
|
# thawabu
|
||
|
|
||
|
"malipo". Hii ina maana ya malipo yanayostahili kwa mtu. Maana mbili zaweza kuwa 1) "Mimi ni yote unayohitaji" au 2) "Nitakupa yote unayohitaji".
|
||
|
|
||
|
# Abram akasema, "Kwakuwa hujanipatia
|
||
|
|
||
|
"Abramu aliendelea kuzungumza na kusema, "Kwa kuwa umenipatia"
|