forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
599 B
Markdown
24 lines
599 B
Markdown
# Alimbariki
|
|
|
|
Mfalme Melkizedeki alimbariki Abramu.
|
|
|
|
# Abarikiwea Abramu na Mungu aliye juu sana, muumba wa mbingu na nchi
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mungu aliye Juu Sana, Muumba wa mbingu na nchi, ambariki Abramu"
|
|
|
|
# mbingu
|
|
|
|
Hii ina maana ya sehemu ambayo Mungu huishi.
|
|
|
|
# Mungu aliye juu sana, ambaye amekupatia
|
|
|
|
"Mungu aliye juu sana, kwa sababu amekupatia". Msemo unaoanza na "ambaye amekupatia" unatueleza jambo zaidi kuhusu Mungu aliye juu sana.
|
|
|
|
# Abarikiwe Mungu aliye juu sana
|
|
|
|
Hii ni njia ya kumsifu Mungu.
|
|
|
|
# mikono yako
|
|
|
|
"ndani ya utawala wako" au "ndani ya uwezo yako"
|