sw_tn/gen/14/19.md

599 B

Alimbariki

Mfalme Melkizedeki alimbariki Abramu.

Abarikiwea Abramu na Mungu aliye juu sana, muumba wa mbingu na nchi

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mungu aliye Juu Sana, Muumba wa mbingu na nchi, ambariki Abramu"

mbingu

Hii ina maana ya sehemu ambayo Mungu huishi.

Mungu aliye juu sana, ambaye amekupatia

"Mungu aliye juu sana, kwa sababu amekupatia". Msemo unaoanza na "ambaye amekupatia" unatueleza jambo zaidi kuhusu Mungu aliye juu sana.

Abarikiwe Mungu aliye juu sana

Hii ni njia ya kumsifu Mungu.

mikono yako

"ndani ya utawala wako" au "ndani ya uwezo yako"