sw_tn/gen/14/15.md

470 B

Akawagawanya watu wake dhidi yao usiku na kuwavamia

Yawezekana hii ina maana ya mipango ya vita. "Abramu aliwagawa wanamume katika makundi kadhaa, na wakawashambulia maadui zao katika pande zote"

mali zote

Hii ina maana ya vitu ambavyo maadui waliiba kutoka miji ya Sodoma na Gomora.

mali zake

"na mali za Lutu ambazo maadui waliiba kutoka kwa Lutu"

pamoja na wanawake na watu wengine

"pamoja na wanawake na watu wengine ambao wafalme wanne waliwakamata"