forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
470 B
Markdown
16 lines
470 B
Markdown
|
# Akawagawanya watu wake dhidi yao usiku na kuwavamia
|
||
|
|
||
|
Yawezekana hii ina maana ya mipango ya vita. "Abramu aliwagawa wanamume katika makundi kadhaa, na wakawashambulia maadui zao katika pande zote"
|
||
|
|
||
|
# mali zote
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya vitu ambavyo maadui waliiba kutoka miji ya Sodoma na Gomora.
|
||
|
|
||
|
# mali zake
|
||
|
|
||
|
"na mali za Lutu ambazo maadui waliiba kutoka kwa Lutu"
|
||
|
|
||
|
# pamoja na wanawake na watu wengine
|
||
|
|
||
|
"pamoja na wanawake na watu wengine ambao wafalme wanne waliwakamata"
|