sw_tn/gen/14/13.md

600 B

Mmoja ambaye alitoroka alikuja

"Mwanamume alitoroka vitani na kuja"

Alikuwa anaishi

"Abramu alikuwa anaishi" Hii inatambulisha taarifa ya nyuma.

walikuwa washirika wa Abram

"walikuwa washirika wa mkataba na Abramu" au "alikuwa na makubaliano ya amani na Abramu"

ndugu yake

Hii inahusu mpwa wa Abramu Lutu

wanaume waliofunzwa

"wanamume waliofunzwa kupigana"

wanaume waliozaliwa nyumbani mwake

"wanamume waliozaliwa nyumbani mwa Abramu". Walikuwa watoto wa watumishi wa Abramu.

akawafukuza

"akawafukuza"

Dani

Huu ni mji wa kaskazini wa Kanaani, mbali ya kambi ya Abramu.