sw_tn/gen/13/12.md

249 B

akaishi

"akatulia" au "akakaa"

nchi ya Kanaani

"nchi ya watu wa Kanaani"

Akatandaza hema zake hadi Sodoma

Maana zaweza kuwa 1) "alitandaza mahema yake karibu na Sodoma" au 2) "Alisogeza mahema yake kuzunguka eneo lililofika hadi Sodoma".