forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
470 B
Markdown
12 lines
470 B
Markdown
# Aliendelea na safari yake
|
|
|
|
Abramu na familia yake walisafiri kwa hatua, kwenda kutoka sehemu hadi sehemu. Hii inaweza kufanywa wazi. "Waliendelea na safari yao"
|
|
|
|
# mahali ambapo hema yake ilikuwa tangu mwanzo
|
|
|
|
Watafsiri wanaweza kuweka maandishi machache yanayosema "Tazama Mwanzo 12:8." Muda wa safari yake unaweza kuwekwa wazi. "katika eneo alipotenga hema lake kabla hajakwenda Misri"
|
|
|
|
# akaliitia jina la Yahwe
|
|
|
|
"aliomba katika jina la Yahwe" au"alimuabudu Yahwe"
|