sw_tn/gen/13/03.md

470 B

Aliendelea na safari yake

Abramu na familia yake walisafiri kwa hatua, kwenda kutoka sehemu hadi sehemu. Hii inaweza kufanywa wazi. "Waliendelea na safari yao"

mahali ambapo hema yake ilikuwa tangu mwanzo

Watafsiri wanaweza kuweka maandishi machache yanayosema "Tazama Mwanzo 12:8." Muda wa safari yake unaweza kuwekwa wazi. "katika eneo alipotenga hema lake kabla hajakwenda Misri"

akaliitia jina la Yahwe

"aliomba katika jina la Yahwe" au"alimuabudu Yahwe"