forked from WA-Catalog/sw_tn
470 B
470 B
Aliendelea na safari yake
Abramu na familia yake walisafiri kwa hatua, kwenda kutoka sehemu hadi sehemu. Hii inaweza kufanywa wazi. "Waliendelea na safari yao"
mahali ambapo hema yake ilikuwa tangu mwanzo
Watafsiri wanaweza kuweka maandishi machache yanayosema "Tazama Mwanzo 12:8." Muda wa safari yake unaweza kuwekwa wazi. "katika eneo alipotenga hema lake kabla hajakwenda Misri"
akaliitia jina la Yahwe
"aliomba katika jina la Yahwe" au"alimuabudu Yahwe"