forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
729 B
Markdown
20 lines
729 B
Markdown
# kwa sababau ya Sarai, mke wa Abramu
|
|
|
|
Hii inaweza kufanywa kwa uwazi zaidi. "Kwa kuwa Farao alitaka kumchua Sarai , mke wa Abramu, aweze kuwa mke wake mwenyewe"
|
|
|
|
# Farao akamwita Abramu
|
|
|
|
"Farao akamuita Abramu" au "Farao akamuamuru Abramu kuja kwake"
|
|
|
|
# Nini hiki ambacho umenifanyia?
|
|
|
|
Farao alitumia lugha hii ya balagha kuonyesha jinsi gani alivyokasirika juu ya kile Abramu alichomfanyia. Inaweza kuelezeka kwa namna ya mshangao. "Umedanya jambo baya kwangu!"
|
|
|
|
# Kisha Farao akatoa amri kwa watu wake kuhusiana naye
|
|
|
|
"Kisha Farao akawaongoza wakuu wake kuhusu Abramu"
|
|
|
|
# na wakamuondoa, yeye pamoja na mke wake na vyote alivyokuwa navyo
|
|
|
|
"na wakuu wakamfukuza Abramu kutoka kwa Farao, pamoja na mke wake na alivyokuwa navyo"
|