sw_tn/gen/12/17.md

729 B

kwa sababau ya Sarai, mke wa Abramu

Hii inaweza kufanywa kwa uwazi zaidi. "Kwa kuwa Farao alitaka kumchua Sarai , mke wa Abramu, aweze kuwa mke wake mwenyewe"

Farao akamwita Abramu

"Farao akamuita Abramu" au "Farao akamuamuru Abramu kuja kwake"

Nini hiki ambacho umenifanyia?

Farao alitumia lugha hii ya balagha kuonyesha jinsi gani alivyokasirika juu ya kile Abramu alichomfanyia. Inaweza kuelezeka kwa namna ya mshangao. "Umedanya jambo baya kwangu!"

Kisha Farao akatoa amri kwa watu wake kuhusiana naye

"Kisha Farao akawaongoza wakuu wake kuhusu Abramu"

na wakamuondoa, yeye pamoja na mke wake na vyote alivyokuwa navyo

"na wakuu wakamfukuza Abramu kutoka kwa Farao, pamoja na mke wake na alivyokuwa navyo"