forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
464 B
Markdown
16 lines
464 B
Markdown
# alipiga hema yake
|
|
|
|
Abramu alikuwa na watu wengi pamoja naye alipokuwa akisafiri. Watu waliokuwa wakihama kutoka sehemu moja hadi nyingine waliishi ndani ya mahema. "walitengeneza mahema yao"
|
|
|
|
# kuliitia jina la Yahwe
|
|
|
|
"waliomba kwa jina la Yahwe" au "kumuabudu Yahwe"
|
|
|
|
# Kisha Abram akaendelea kusafiri
|
|
|
|
"Kisha Abramu alichukua hema lake na kuendelea na safari"
|
|
|
|
# upande wa Negebu
|
|
|
|
"kuelekea eneo la Negebu" au "kuelekea kusini" au "kusini ya jangwa la Negebu"
|