sw_tn/gen/12/08.md

464 B

alipiga hema yake

Abramu alikuwa na watu wengi pamoja naye alipokuwa akisafiri. Watu waliokuwa wakihama kutoka sehemu moja hadi nyingine waliishi ndani ya mahema. "walitengeneza mahema yao"

kuliitia jina la Yahwe

"waliomba kwa jina la Yahwe" au "kumuabudu Yahwe"

Kisha Abram akaendelea kusafiri

"Kisha Abramu alichukua hema lake na kuendelea na safari"

upande wa Negebu

"kuelekea eneo la Negebu" au "kuelekea kusini" au "kusini ya jangwa la Negebu"