sw_tn/gen/10/32.md

412 B

Hizi zilikuwa koo

Hii inarudi nyuma kwa watu wote waliorodheshwa katika 10:1

kulingana na

"imeorodheshwa kwa"

kwa hawa mataifa yaligawanyika na kwenda juu ya nchi

"kutoka kwa koo hizi mataifa yaligawanyika na kusambaa nchini kote" au "Koo hizi ziligawanyika baina yao na kuunda mataifa ya dunia"

baada ya gharika

Hii inaweza kuelezwa dhahiri au kwa uwazi zaidi. "baada ya gharika kuangamiza nchi"