forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
417 B
Markdown
16 lines
417 B
Markdown
# Kutoka kwa hawa watu wa pwani waligawanyika na
|
|
|
|
"Wana wa yafethi na vizazi vyake waligawanyika na kuhamia pwani na visiwani"
|
|
|
|
# watu wa pwani
|
|
|
|
Hii ina maana ya watu waliokuwa wakiishi kando ya pwani na visiwani.
|
|
|
|
# ardhi zao
|
|
|
|
"makazi yao". Hizi ni sehemu ambazo watu waliohama waliishi.
|
|
|
|
# kila mtu na lugha yake
|
|
|
|
"Kila kundi la watu lilizungumza lugha yake" au " Makundi ya watu walijigawa kulingana na lugha zao"
|