sw_tn/gen/10/02.md

417 B

Kutoka kwa hawa watu wa pwani waligawanyika na

"Wana wa yafethi na vizazi vyake waligawanyika na kuhamia pwani na visiwani"

watu wa pwani

Hii ina maana ya watu waliokuwa wakiishi kando ya pwani na visiwani.

ardhi zao

"makazi yao". Hizi ni sehemu ambazo watu waliohama waliishi.

kila mtu na lugha yake

"Kila kundi la watu lilizungumza lugha yake" au " Makundi ya watu walijigawa kulingana na lugha zao"