sw_tn/gen/09/24.md

786 B

Maelezo ya Jumla:

Katika mistari ya 25-27 Nuhu anatamka laana juu ya mwana wa Hamu na baraka juu ya ndugu za hamu. Kile alichokisema Nuhu juu yao pia iliwahusu uzao wao.

Maelezo ya Jumla:

Misemo tofauti katika mistari hii inakusudiwa kuonyesha ya kwamba hii ilikuwa shairi.

alipozinduka kutoka katika ulevi wake

"akawa mtulivu"

mtoto wake mdogo

Hii ina maana ya Hamu. "mwanawe mdogo, Hamu"

Alaaniwe Kanaani

"Ninakulaani Kaanani" au "Na mambo mabaya yafanyike kwako Kaanani"

Kanaani

Huyu alikuwa mmoja wa wana wa Hamu. "mwana wa Hamu Kaanani"

mtumishi kwa watumishi wa ndugu zake

"mtumishi wa chini wa kaka zake" au "mtumishi mwenye umuhimu wa chini kabisa kati ya ndugu zake"

ndugu zake

Hii inaweza kumaanisha ndugu zake Kaanani au ndugu zake kwa ujumla.