forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
786 B
Markdown
32 lines
786 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Katika mistari ya 25-27 Nuhu anatamka laana juu ya mwana wa Hamu na baraka juu ya ndugu za hamu. Kile alichokisema Nuhu juu yao pia iliwahusu uzao wao.
|
||
|
|
||
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Misemo tofauti katika mistari hii inakusudiwa kuonyesha ya kwamba hii ilikuwa shairi.
|
||
|
|
||
|
# alipozinduka kutoka katika ulevi wake
|
||
|
|
||
|
"akawa mtulivu"
|
||
|
|
||
|
# mtoto wake mdogo
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya Hamu. "mwanawe mdogo, Hamu"
|
||
|
|
||
|
# Alaaniwe Kanaani
|
||
|
|
||
|
"Ninakulaani Kaanani" au "Na mambo mabaya yafanyike kwako Kaanani"
|
||
|
|
||
|
# Kanaani
|
||
|
|
||
|
Huyu alikuwa mmoja wa wana wa Hamu. "mwana wa Hamu Kaanani"
|
||
|
|
||
|
# mtumishi kwa watumishi wa ndugu zake
|
||
|
|
||
|
"mtumishi wa chini wa kaka zake" au "mtumishi mwenye umuhimu wa chini kabisa kati ya ndugu zake"
|
||
|
|
||
|
# ndugu zake
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kumaanisha ndugu zake Kaanani au ndugu zake kwa ujumla.
|