sw_tn/gen/09/03.md

8 lines
229 B
Markdown

# Taarifa ya Jumla:
Mungu anaendelea kuzungumza na Nuhu pamoja na watoto wake.
# uhai ... damu
"Damu ni alama ya uhai". "Mungu alikuwa akiwaamuru watu wasile nyama ambayo bado ina damu ndani yake. Walipaswa kutoa kwanza damu"