sw_tn/gen/09/03.md

229 B

Taarifa ya Jumla:

Mungu anaendelea kuzungumza na Nuhu pamoja na watoto wake.

uhai ... damu

"Damu ni alama ya uhai". "Mungu alikuwa akiwaamuru watu wasile nyama ambayo bado ina damu ndani yake. Walipaswa kutoa kwanza damu"