sw_tn/gen/06/05.md

12 lines
325 B
Markdown

# mwinamo
"mwelekeo" au "tabia"
# mawazo ya mioyo yao
Mwandishi anazungumzia juu ya moyo kana kwamba ni sehemu ya mwili unaofikiri. "mawazo yao ya ndani ya siri"
# ikamuhuzunisha moyo wake
Mwandishi anazungumzia juu ya moyo kana kwamba ni sehemu ya mwili unaoweza kuhisi huzuni. "alikuwa na huzuni sana mno juu ya hili"