sw_tn/gen/06/05.md

325 B

mwinamo

"mwelekeo" au "tabia"

mawazo ya mioyo yao

Mwandishi anazungumzia juu ya moyo kana kwamba ni sehemu ya mwili unaofikiri. "mawazo yao ya ndani ya siri"

ikamuhuzunisha moyo wake

Mwandishi anazungumzia juu ya moyo kana kwamba ni sehemu ya mwili unaoweza kuhisi huzuni. "alikuwa na huzuni sana mno juu ya hili"