akatoka mbele ya uwepo wa Yahwe
Ingawa Yahwe yupo kila mahali, lahaja hii inamzungumzia Kaini kana kwamba alienda mbali sana. "aliondoka kutoka mahali ambapo Yahwe alizungumza naye"
Nodi
Neno Nodi linamaana ya "mkimbizi"
akamjua
akamjua
Akajenga mji
"Kaini akajenga mji"