forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
388 B
Markdown
16 lines
388 B
Markdown
# sitaonekana mbele ya uso wako
|
|
|
|
Msemo wa "uso wako" unawakilisha uwepo wa Mungu. "Sitaweza kuzungumza na wewe"
|
|
|
|
# mkimbizi na mtu nisiye na makao
|
|
|
|
mtu asiye na makao
|
|
|
|
# kisasi kitakuwa juu yake mara saba
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Nitachukua kisasi juu yake mara saba" au "Nitamuadhibu mtu yule mara saba kwa ukali kama navyokuadhibu"
|
|
|
|
# asimshambulie
|
|
|
|
"hatamuua Kaini"
|