sw_tn/gen/04/13.md

388 B

sitaonekana mbele ya uso wako

Msemo wa "uso wako" unawakilisha uwepo wa Mungu. "Sitaweza kuzungumza na wewe"

mkimbizi na mtu nisiye na makao

mtu asiye na makao

kisasi kitakuwa juu yake mara saba

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Nitachukua kisasi juu yake mara saba" au "Nitamuadhibu mtu yule mara saba kwa ukali kama navyokuadhibu"

asimshambulie

"hatamuua Kaini"