sw_tn/gen/03/07.md

738 B

Macho ya wote wawili yalifumbuliwa

"Kisha macho yao yakafumbuliwa" au "Wakapata ufahamu" au "Wakaelewa"

Wakashona

"wakakaza" au"wakaunganisha"

majani ya miti

Iwapo watu hawajui majani ya miti yakoje, hii yaweza kutafsiriwa kama "majani makubwa ya mti" au kwa wepesi "majani makubwa"

na wakatengeneza vya kujifunika kwa ajili wao wenyewe

Walifanya hivi kwa sababu walikuwa na aibu. Taarifa hii inayojitokea yaweza kufanywa dhahiri kama itahitajika. "na wakajivika navyo kwa sababu walikuwa na aibu"

majira ya kupoa kwa jua

"katika kipindi hicho cha siku ambapo hewa tulivu huvuma"

kutoka kwa uwepo wa Yahwe Mungu

"kuepuka uwepo wa Yahwe Mungu" au "ili kwamba Yahwe Mungu asiweze kuwaona" au "kutoka kwa Yahwe Mungu"