forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
738 B
Markdown
24 lines
738 B
Markdown
|
# Macho ya wote wawili yalifumbuliwa
|
||
|
|
||
|
"Kisha macho yao yakafumbuliwa" au "Wakapata ufahamu" au "Wakaelewa"
|
||
|
|
||
|
# Wakashona
|
||
|
|
||
|
"wakakaza" au"wakaunganisha"
|
||
|
|
||
|
# majani ya miti
|
||
|
|
||
|
Iwapo watu hawajui majani ya miti yakoje, hii yaweza kutafsiriwa kama "majani makubwa ya mti" au kwa wepesi "majani makubwa"
|
||
|
|
||
|
# na wakatengeneza vya kujifunika kwa ajili wao wenyewe
|
||
|
|
||
|
Walifanya hivi kwa sababu walikuwa na aibu. Taarifa hii inayojitokea yaweza kufanywa dhahiri kama itahitajika. "na wakajivika navyo kwa sababu walikuwa na aibu"
|
||
|
|
||
|
# majira ya kupoa kwa jua
|
||
|
|
||
|
"katika kipindi hicho cha siku ambapo hewa tulivu huvuma"
|
||
|
|
||
|
# kutoka kwa uwepo wa Yahwe Mungu
|
||
|
|
||
|
"kuepuka uwepo wa Yahwe Mungu" au "ili kwamba Yahwe Mungu asiweze kuwaona" au "kutoka kwa Yahwe Mungu"
|